Jeremiah 15:1

Adhabu Isiyoepukika

1 aKisha Bwana akaniambia: “Hata kama Mose na Samweli wangesimama mbele zangu, moyo wangu usingewaelekea watu hawa. Waondoe mbele za macho yangu! Waache waende!
Copyright information for SwhNEN